ALIYECHOMA MOTO PICHA YA RAIS SAMIA ANATAFUTWA NA POLISI"
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Z. Homera ametoa masaa 24 kwa Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya SACP Benjamini Kuzaga, kumsaka na kumkamata Kijana ambaye jina lake halijafahamika mkazi Ntokela Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya Kwa Kosa la Kumkashifu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Maneno Makali na Kisha kuichoma moto Picha ya Mhe. Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Ещё видео!