Wafanyabiashara wa machungwa katika eneo la mkata na kabuki wilayani Handeni Mkoani Tanga wameiomba serikali kuangalia uwezekano wa kuwatengenezea stend ili kuweza kufanya biashara zao kwa urahisi.
Kuhusu uwepo wa machungwa ya kutosha mfanyabiashara Ramadhan Issa mkazi wa Mkata amesema kwenye mashamba yao ikifika msimu wa machungwa,yanakuwepo ya kutosha hivyo kikubwa kinachohitajika ni soko la uhakika kwa wafanyabiashara hao.
Ещё видео!