kituo cha kulea vijana Fair Play kimeazimisha miaka ishirini leo toka kuanzishwa kwake katika jiji la Tanga ambapo Rais wa Tff Wallece karia amedhuria maazimisho hayo na kumpongeza Mwenyekiti wa Kamati ya soka la vijana Khalid Abdallah alipomtembelea kwenye kituo chake cha Fair Play .Kwa .juhudi kubwa anazo zifanya amezalisha vijana wengi ambao wanachezea timu ya Taifa ya Vijana . na afisa michezo mkowa wa Tanga Digner Tesha Amewaomba wazazi kuwa sapoti watoto wao pindi wanapo tambua vipaji vyao.
![](https://i.ytimg.com/vi/-gzhP0qPuBY/maxresdefault.jpg)