Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi Mkoani Kilimanjaro mbele ya Hakimu Naomi Mwirinde imemuachia huru Wendi Mrema binti aliyekuwa akituhumiwa kumuua Mama yake mzazi Patricia Ireck Mrema baada ya upande wa mashtaka kuwasilisha maombi ya kisheria ya kutoendelea na shauri ilo ambapo mwingine aliyeachiwa huru ni mshitakiwa wa tatu Waziri Ally.
![](https://i.ytimg.com/vi/-uWhBcZNE5c/maxresdefault.jpg)