Hii Ni simulizi ya kweli inayomhusu MAGERE akielezea jinsi walivyoishi na dada wakazi mchawi (JINI) na mpaka kupelekea baba yake kuuliwa na huyo jini,...........
aliwatokea kama mzimu akawaambia baba yenu nitammaliza,hazikupita siku nyingi BABA akafa kweli inasikitisha na inatisha pia.
USISAHAU KUSUBSCRIBE ILI UWE WA KWANZA KUJUZWA NA KUPATA STORY ZA KUSHANGAZA
©Radio free Africa
#benlaysh #chakushangaza #benlayshFacts
![](https://i.ytimg.com/vi/03BT6WivjyM/mqdefault.jpg)