Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda leo tarehe 1 Julai, 2024 amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maji inayodhaminiwa na Umoja wa Falme za Kiarabu wenye mpango wa kuhudumia Wananchi milioni moja.
Katika ziara hiyo Mhe. Makonda ameambatana na Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu.