Chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Geita kimesema lengo la kuweka banda kwenye maonesho ya Teknolojia na uwekezaji ni kuona namna ya wananchi kutambua majukumu ambayo chama hichi kimeendelea kuyatekeleza,
Akizungumza kwenye banda hilo mapema leo Katibu wa CCM wilaya ya Geita,Mwinyiheri Baraza ameelezea malengo na madhumuni ambayo yameendelea kufanywa na chama hicho.
Ещё видео!