#HabarizaUN #UmojawaMataifa #Kiswahili #UNNewsKiswahili #Somalia #JumiyayaAfrikamashariki #Afrikamashariki #Petermathuki
Nchi ya Somalia imeomba kuwa mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo Dkt. Peter Mathuki alipokuwa hapa jijini New York Marekani ambapo alifanya mazungumzo na Leah Mushi wa idhaa hii.
Pata taarifa ya habari, makala, habari kwa picha , mahojiano na matukio kuhusu masuala ya kibinadamu, SDGs na mengine mengi kutoka Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa. Ni "Habari za UN" kutoka makao makuu ya UN New York City.
![](https://i.ytimg.com/vi/0c8pq6GFHFc/maxresdefault.jpg)