Tabia ya baadhi ya wanafunzi kugomea kujiunga na hostel ili kuondokana na changamoto ya kutembea umbali kwenda shuleni, wazazi kuwataka watoto wao kujifelisha ili wakachezwe ngoma na baadae kuolewa wakiwa na umri mdogo pamoja na ukosefu wa chakula shuleni zimetajwa kuwa changamoto kubwa zinazochangia kushuka kwa kiwango cha ufaulu ikiwemo kuporomoka kwa kiwango cha maadili kwa wanafunzi katika shule nyingi zilizopo wilayani Kisarawe mkoani Pwani.
Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, NICKSON SIMON amesema serikali imeweka mkakati wa kuhakikisha wanashirikisha walimu, wazazi na jamii ili kuongeza jitihada za ufuatiliahji wa mwenendo wa wanafunzi utaweza kumjenga mwanafunzi kimaadili na kielimu.
Subscribe hapa : [ Ссылка ]
Tufuate Kwenye Twitter : [ Ссылка ]
Like Ukurasa wetu wa Facebook : [ Ссылка ]
Ещё видео!