Waziri mkuu Mh Kassim Majaliwa amemtaka mtendaji mkuu wa wakala wa vipimo Tanzania kumpa maelezo kwa maandishi ya sababu za kuzuia utumiwaji wa mita za kupima kiwango cha mafuta kinachopakuliwa bandarini kutoka melini (flow meter) kwa kipindi cha miaka mitano jambo lililosababisha serikali kupata hasara ya mamilioni ya shilingi huku mita hizo zikianza kufanya kazi siku moja tu kabla ya kufanya ziara hiyo bandarini hapo.
![](https://i.ytimg.com/vi/0x1HcPdngzo/mqdefault.jpg)