RC MAKONDA mbele ya MAGUFULI "Yuko wapi Halima Mdee"
Rais Dkt John Magufuli, leo Novemba 27, 2018, anafungua Maktaba mpya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Ufunguzi huo umehudhuriwa na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa, Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na viongozi wengine wa chuo hicho.
Akizungumza katika hafla hiyo RC Makonda, amempongeza Rais Magufuli kwa kazi kubwa anayoifanya na kusema wapo baadhi ya wabunge hawatambui kazi hiyo ndio maana hata wameshindwa kuhudhuria katika hafla hiyo ambapo amemtaja Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na mbunge wa Kibamba, John Mnyika.
#RAISMAGUFULI #UDSM
Watch More Videos here: [ Ссылка ] Watch More Videos here: [ Ссылка ] Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter:
www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: [ Ссылка ] Install Global App: iOS: [ Ссылка ] USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK [ Ссылка ]...
![](https://i.ytimg.com/vi/1Qoj02sFvK4/mqdefault.jpg)