Huku hayo yakijiri, maelfu ya waandamanaji wa vuguvugu la ‘Generation Z’ au Gen Z’ waliojikusanya kwa kutumia alama tofauti za reli yaani ‘Hashtag’ kwenye mitandao ya kijamii waliandamana katika barabara za miji tofauti humu nchini kuonesha umoja na wenzao wa kaunti ya Nairobi.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: [ Ссылка ]
Follow us on Twitter: [ Ссылка ]
Find us on Facebook: [ Ссылка ]
Check our website: [ Ссылка ]
#kbcchannel1 #news #kbclive
![](https://i.ytimg.com/vi/1Sn82zsM1dQ/maxresdefault.jpg)