Simba SC imelazimisha sare ya mabao 2-2 kwa KMC, katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Dimba la benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Simba wametangulia kwa goli la Moses Phiri dakika ya 3 lakin KMC wakachomoa dakika ya 47 na kufunga la pili dakika ya 57 kabla ya Simba kusawazisha dakika ya 89 kupitia kwa Habibu Kyombo.
Hii ni sare ya kwanza kwa KMC kupata dhidi ya Simba kwenye ligi kuu na ni mechi ya kwanza kwa Simba kukosa ushindi dhidi ya KMC kwenye ligi kuu.
![](https://i.ytimg.com/vi/1UQf6SDj6VE/maxresdefault.jpg)