E' YESU, INGIA ROHONI KABISA
1. E' Yesu, ingia rohoni kabisa, uniweke huru
na kunitakasa, nipate kushirikiana na wewe
katika mateso na raha daima.
:/: E' bwana, nijaze upendo wa mbingu
nao uthabiti, ni wewe mshindaji! :/:
2. Siombi ufalme, siomba heshima, naomba
kupewa neema daima, nijue ukweli wa neno
la Mungu: Mtoe miili na iwe dhabibu!
3. Ingia rohoni, unichungulie, na katika yote
unisaidie, nipate kabisa kusudi na nia kujitoa
kwako, kukutumikia.
4. Hakuna la huku linazuia nisifananishwe
na Yesu Masiya. Nitumainije kufika mbinguni
nisiposhiriki Mwokozi mpendwwa!
Ещё видео!