Tunaendelea na mlolongo wa historia yetu kabla ya Ukoloni kuwajua mashujaa wetu wa wakati huo!
Tumeanza na Mkwawa kwakuwa ndio aliyekuwa mtu wa kwanza kabisa kuuukataa ukoloni kwa nguvu kubwa.Tunayaangalia mapambano yake yote dhidi ya wajerumani mwanzo mpaka mwisho wa maisha yake!
CREDIT: alkemisttanzania channel
:Wikipedia
![](https://i.ytimg.com/vi/1ex6haZh2xM/mqdefault.jpg)