BABA Ampa MIMBA MWANAE Wa KUMZAA, Alimgeuza MKEWE, RPC Athibitisha!
Binti mwenye umri wa miaka 17 amedai kupewa mimba na baba yake mzazi mwnye umri wa miaka 45 na kudai amemgeuza mke mara baada ya mama yake kufariki dunia miaka kadhaa iliyopita.
Majirani wa mtaa huo wamelaani kitendo hicho na kudai kwamba kama kweli baba yake anahusika basi jeshi la polisi lifuate sheria na adhabu kali ichukuliwe dhidi yake.
[ Ссылка ]... [ Ссылка ]... Watch More Videos here: [ Ссылка ] Watch More Videos here: [ Ссылка ] Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram:
www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: [ Ссылка ] Install Global App: iOS: [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/1uiASMy4ai4/mqdefault.jpg)