Watafiti kutoka Tari Siriani Arusha wamekuja na wazo la kuongezea Maharage viini lishe vinavyoweza kuongeza uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kwa wanaume.
Je ungependa kufahamu Maharage haya yanafanyaje kazi na upatikanaji wake?
Mwandishi wa BBC @lulusanga44 ametembelea kituo hicho cha utafiti jijini Arusha na kutuandalia Habari hii
#bbcswahili #tanzania #arusha
![](https://i.ytimg.com/vi/23DzUH2JMBU/maxresdefault.jpg)