Hakuna ambaye hajawahi kufanya makosa kwenye mahusiano au ndoa yake, makosa haya yamegawanyika, yapo ambayo unaweza kuyafanya mkayaongea mkasameheana maisha yakasonga. Yapo ambayo ukiyafanya itawagharimu sana. Je unayafahamu? Nifuatilie hapa nikufundishe MAKOSA 5 YAKUEPUKA kwenye mahusiano na ndoa yako.#DrChrisMauki#Makosa#Mahusiano.
![](https://i.ytimg.com/vi/2bcr_PZpUcg/maxresdefault.jpg)