Hii ni simulizi ya ujasiriamali ya tano yamtaji wa ujasiriamali ulivyo angamia.
Kijana Hamza msomi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam alitumia mtaji wa milioni 3 kuanzisha biashara ya duka la vyombo vya nyumbani, baada ya kukosa ajira.
Mkasa gani ulimkuta mpaka alipoteza mtaji wake wa milioni 3?
Kwenye simulizi ya nne, Hamza alitueleza alivyo fanikiwa kupanga vyombo kwenye duka lake. Pia Hamza alieleza alivyo fanikiwa kupanga bei ya vyombo vitakavyo uzwa kwa wateja wa duka lake.
Mwisho, Hamza alipanga siku ya kufungua duka lake la biashara ya vyombo vya nyumbani.
Ebu sasa tuendelee na simulizi ya kijana Hamza, kuhusu jitihada yake ya kuanzisha biashara ya duka la vyombo vya nyumbani
Tumechapisha vitabu vifuatavyo ambavyo unaweza kuvipata kupitia WhatsApp +255 716682439
1. Jinsi ya kuanzisha duka
2. Jinsi ya kuanzisha mgahawa
3. Jinsi ya kuanzisha salon
4. Jinsi ya kuanzisha duka la vipodozi
5. Jinsi ya kuanzisha duka la nguo
6. Jinsi ya kutengeneza hesabu za biashara
![](https://i.ytimg.com/vi/2gc3lpBxKkc/maxresdefault.jpg)