Serikali yatoa msimamo wake GSM kudhamini timu zaidi ya moja
.
Suala hilo limetolewa ufafanuzi na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa, amesema:
.
"Ukiachilia mbali TFF pia tuna baraza la Michezo (BMT) ambalo lipo karibu katika kusimamia sheria hizo, hivyo sioni na wala wananchi wasiwe na shaka katika hilo kwani kama kutatokea ukiukwaji wowote hawatasita kuchukua hatua kwa muhusika" amesema Waziri huyo.
.
Pia Bashungwa amesema katika suala hilo la udhamini wa GSM watu wasitie shaka nalo kwa kuwa kama ni sheria za mpira zipo, hivyo endapo kutaonekana kuwa na mambo tofauti wahusika watawajibishwa.
#simbasc
#sakatalagsm
#yangasc
#usajilisimbasc
#usajiliyangasc
#usajili
#dirishakubwalausajili
#azamtv
#fifa
#cas
#modewji
#hajimanara
#yusuphmanji
#usajli
#kikosichasimbaleo
#simbaleo
#ligikuutanzania
#simba
#usajiliyangasc
#yanga
#ligikuu
#tanzania
#simba
#yangaleo
#usajilisimbaleo
#ligikuu
#chama
#miquissone
#kisinda
#mukoko
#caf
#tff
#SIMBASC
#YANGASC
#SIMBA
#LIGIKUUTANZANIA
#ligiyamabingwaafrica
#Africa
#tanzania
![](https://i.ytimg.com/vi/2nXu_su4UqY/maxresdefault.jpg)