Watu Watatu Wamefariki Kutokana Na Covid-19 Na Kufikisha Jumla Ya Waliofariki Dunia Kufikia Elfu Moja Mia Saba Sitini Na Sita. Wakati Uo Huo, Watu Wengine Themanini Na Tatu Wamethibitishwa Kuambukizwa Virusi Vya Korona Katika Saa Ishirini Na Nne Zilizopita. Idadi Ya Visa Vya Waliopatikana Na Ugonjwa Huo Sasa Ni Laki Moja Mia 856.
Ещё видео!