Nasaha za MAMA JOKATE Baada ya Mwanae Kuapishwa
Mkuu mpya wa wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo ameapishwa leo August 3,2018 mkoani Pwani na Mkuu wa Mkoa huo Evarist Ndikilo.
Baada ya zoezi hilo, DC Jokate ametoa shukrani zake za dhati kwa Rais Magufuli kutokana na heshima aliyompa ya kuongoza wilaya hiyo, pia amehaidi kuendelea kuwa mfano mzuri.
Pia Mama mzazi wa Jokate alipata wasaa wa kuzungumza machache kuhusiana na uteuzi huo wa Mwanae.
Install GlobalPublishersApp Android: [ Ссылка ] iOS: [ Ссылка ] Subscribe [ Ссылка ] FACEBOOK:.
[ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] Visit [ Ссылка ], Suazi1 [ Ссылка ] WEBSITE:
[ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] INSTAGRAM: [ Ссылка ]..
![](https://i.ytimg.com/vi/3SPnJcZ8ems/maxresdefault.jpg)