Mara nyingi kwa uzoefu wangu wa ushauri wangu katika masuala ya mahusiano na ndoa je mtu afanye nini kuboresha mahusiano? Kabla ya kwenda mbali zaidi napendaga kuuliza kwanza je mnapendana?
Mambo Saba (7) Yatakayo Kusaidia Kuboresha Mahusiano Yako:-
1. Mawasilano ( Communication )
2. Weka muda wenu wa pekee (Quakity Time)
Kuendelea kujifunza sehemu ya pili bonyeza link hapa chini kuweza kusubscribe channel yangu hii uweze kuwa wa kwanza kuipata video hiyo.
Subscribe here : [ Ссылка ]
#DrChrisMauki#Mahusiano#Maboresho.
![](https://i.ytimg.com/vi/3fpWP1Xwr6k/maxresdefault.jpg)