Jumatatu ya January 1 2018 taarifa zilizoenea katika mitandao ya kijamii ni kuhusiana na mtangazaji wa Clouds FM na mchoraji wa katuni Masoud Kipanya kudaiwa kupotea na hakuna mtu ambaye anafahamu mahali alipo. Baada ya taarifa hizo kuenea katika mitandao ya kijamii na kila mtu kuendelea kujiuliza kama kuna ukweli wowote kuhusiana na taarifa hiz, uongozi wa Clouds Media Group ambao ndio waajiri wa Masoud Kipanya wametoa taarifa za awali.
![](https://s2.save4k.ru/pic/3oOjg95xx_s/maxresdefault.jpg)