Wimbo wa Mwanzo Dominika ya 31 Mwaka C wa Kanisa.
Wimbo: Ee Bwana Usiniache
Mtunzi: Joseph D. Mkomagu
Organist: Alex Rwelamira
Kanisa: Paokia ya Mtakatifu Augustin, Ukonga Dar es Salaam
Maneno ya wimbo
Ee Bwana usiniache, usijitenge nami, fanya haraka kunisaidia x 2
Wewe Bwana wokovu wangu, naungama uovu wangu, dhambi zangu mimi zanisikitisha.
Ещё видео!