Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Kassim Majaliwa amewagiza wakuu wa Idara na Vitengo kutumia vyombo vya habari ili waitangaze miradi yote ya maendeleo ambayo serikali imepeleka fedha za utekelezaji wa miradi hiyo.
Hayo ameyasema mapema hii leo katika ziara yake aliyoifanya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma baada ya kutembelea na kukagua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya hiyo ya Namtumbo.
Ещё видео!