Chama Tawala nchini Ujerumani CDU kwa kushirikiana na Chadema wameandaa mafunzo ya siku tatu kwa Vyama vya siasa Afrika juu ya namna ya kufanya kampeni za Uchaguzi hasa kwa njia ya Mitandao ya Internet. Mafunzo hayo yamefunguliwa na Katibu Mkuu wa Chadema Dk Wilbroad Slaa ambapo alitoa uzoefu wa Chadema katika Kampeni kwa Washiriki wa warsha hiyo
![](https://i.ytimg.com/vi/4777ISk25Q8/mqdefault.jpg)