LITEYA YA YAMBO
*Somo la kwanza*
KOPESANA MBOTE
*_Kusalimiana_*
1. Mbote?
Hujambo
2. Ee,mbote
Ndio, sijambo.
3. Mbote tatâ
Hujambo bwana
4. Mbote mama
Hujambo bibi
5. tatâ,mbote?
Bwana hujambo?
6. Ee mbote
Ndio sijambo
7. mama mbote?
Bibi hujambo?
8.Ee mbote
Ndio sijambo
9. Sangonini?
Habari gani
10. Sango malamu
10. Habari njema
11. Sangonini,tatâ?
11. Habari gani bwana?
12.Sangomalamu mama
12. Habari njema bibi
13. Sangonini,mama ?
13. Habari gani bibi?
14. Sango malamu, tatâ
14. Habari njema bwana
15.Tongo malamu?
15. Habari za asubuhi njema?
16.Ee,malamu
16. Ndio ni njema
17. Moi malamu?
17. Habari za mchana njema?
18. Pokwa malamu?
18. Habari za jioni?
19. Sango nini ya moi,tatâ?
19. Habari za mchana bwana?
20.Sango nini ya pokwa,tatâ?
20. Habari za jioni bwana?
21. Sango nini ya tongo, tatâ ?
21. Habari za asubuhi bwana?
22.Sango nini ya butû?
22. Habari za usiku
23. Sango nini ya butû, mama?
23. Habari za usiku bibi?
24. Sango nini ya tongo, mama ?
24. Habari za asubuhi bibi?
25. Sango nini ya pokwa, mama ?
25. Habari za jioni bibi?
26. Tikâlâ malamu,tatâ
26. Kwaheri bwana
27.Tikâlâ malamu,mama
27. Kwa heri bibi
For Rumba music and Lingala lessons check out on my YouTube channel
Kombo Nanga James Angana
See all seVideo from James Angana
Ещё видео!