Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Albert Chalamila Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam alipofanya ziara katika chuo cha DUCE amezungumza na wanafunzi na viongozi wa chuo hicho
mmoja ya wanafunzi wa chuo hicho alieibua hisia nyingi kwa wanafunzi pamoja na baadhi y viongozi aitwae Frola Ndunguru alisimama na kuhoji kuhusu mikopo ya wanafunzi kuchelewa na wengine kutopata pata kabisa
![](https://i.ytimg.com/vi/4D5msR024WE/maxresdefault.jpg)