Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Geita wamewataka wazazi wa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza, kuhakikisha wanawapeleka watoto shule kuanza masomo.
Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya Naomi Fujo wakati akizungumza na Wanafunzi ikiwa ni maadhimisho ya miiaka 46 ya kuzaliwa kwa chama hicho.
#mwangazatvupdates
![](https://i.ytimg.com/vi/4IUct9as_7o/mqdefault.jpg)