Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) imetangaza nauli mpya za mabasi ya mijini maarufu daladala na mabasi ya masafa marefu.
Akitangaza kiwango hicho kipya cha nauli leo Jumamosi Aprili 30, 2022 Mkurugenzi Mkuu wa Latra, Gilliard Ngewe amesema kiwango hicho kipya kitaanza kutumika baada ya siku 14.
Amesema kwa mabasi ya mjini kuanzia Kilomita 0 hadi 10 nauli itakuwa Sh500 badala ya 400 na nauli ya Sh450 itakuwa ni 550.
![](https://i.ytimg.com/vi/4rxXqoeXNV4/maxresdefault.jpg)