#breakingnews #mbunge #sukari #2gendahtvonline
“Maelezo ya Waziri kwamba wameenda kubadili Kanuni za NFRA (National Food Reserve Agency) ili kuruhusu NFRA kuwa na ‘mandate’ ya kuagiza Sukari ni uongo. Maelezo na uthibitisho ni kuwa hadi sasa hakuna ‘GN’ yoyote ya Serikali inayoonesha kutungwa kwa Kanuni mpya za NFRA kuruhusu shirika hilo kuagiza, kusambaza na kuuza Sukari nchini kupitia Sheria ya Fedha 2024, kanuni hizi ndiyo zinapendekezwa kurekebishwa.”
- Mpina
Ещё видео!