Vijana Wa Kizazi Cha Z, Wakiwa Mstari Wa Mbele, Wamejitokeza Kwa Wingi Katika Maandamano Nchini Kenya Kupinga Mswada Wa Fedha Wa Mwaka 2024. Wanadai Kuwa Vipengele Vya Mswada Huo Vinaongeza Mzigo Wa Kifedha Kwa Wananchi Wa Kipato Cha Chini Na Cha Kati, Na Hivyo Wanataka Mabadiliko Makubwa Katika Sera Za Kiuchumi Za Serikali Kwenye Kaunti Ya Bungoma Waandamanaji Walijitokeza Kuonesha Ghadhabu Zao Kuhusiana Na Mswada Huo.
Ещё видео!