Waziri wa Nishati, January Makamba ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lijiendeshe kisasa, kuongeza ufanisi na limalize changamoto zinazowakabili wananchi.
Akizungumza katika mkutano na viongozi wakuu wa TANESCO, Bodi mpya ya shirika hilo amelitaka kuliona shirika hilo liongeze ufanisi ili liuze umeme nje ya nchi.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
HabariLeo: [ Ссылка ]
DailyNews: [ Ссылка ]
INSTAGRAM;
HabariLeo: [ Ссылка ]...
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: [ Ссылка ]
Ещё видео!