DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Juni 24, 2024 | Jioni | Swahili Habari leo | Ripoti na Uchambuzi | Taarifa ya Habari | Matangazo ya DW | Dunia yetu
- Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Annalena Baerbock ahofia kuongezeka kwa mzozo kwenye mpaka wa Israel na Lebanon.
- Umoja wa Ulaya waidhinisha yuro bilioni 1.4 msaada wa kijeshi wa Ukraine kwa kutumia mali ya Urusi
- Na ubaguzi dhidi ya Uislamu uliongezeka zaidi ya mara mbili nchini Ujerumani mwaka uliopita
#dwkiswahili #HabarizaUlimwengu #dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo #RipotiNaUchambuzi #TaarifaYaHabari
Ukitaka kukupata habari zetu kila siku, bonyeza 'subscribe' kwenye chaneli yetu ya DW Kiswahili.
Ещё видео!