Chama cha Mapinduzi CCM wilayani Geita kimezishauri shule za sekondari pamoja na za msingi zilizopata pata fedha za serikali zilizo katika mpango wa COVID- 19 kuwashirikisha wajumbe wa kamati za shule ili kuepuka malumbano na kuchelewa kukamilika kwa miradi hiyo.
hayo yameshauriwa na Mwenyekiti wa chama hicho Wilaya ya Geita, Barnabas Mapande akiwa katika Ziara ya kukagua maendeleo ya Utekelzaji wa Miradi hiyo ndani ya kata 4 za halmashauri ya mji Geita na Halmashauri ya wilaya Geita na kubaini kuwa baadhi ya wajumbe hawana taarifa za kutosha juu ya miradi hiyo.
![](https://i.ytimg.com/vi/5WN0uvU0t1w/mqdefault.jpg)