#focusnewstanzaniatv1 ,#ukraine ,#russia ,#palestine ,#iran ,#yanga ,#simba ,#kenya
Tukielekea huko nchini Urusi tunafahamishwa ya kwamba, Wizara ya Ulinzi ya Urusi ilisema Jumapili kwamba wanajeshi wa Urusi wamechukua udhibiti wa mji wa Chihari katika mkoa wa Donetsk, hatua nyingine iliyopigwa na vikosi vyake kwenye sehemu hiyo ya vita.
![](https://i.ytimg.com/vi/5YDlXg0yYRU/maxresdefault.jpg)