HAJI Manara,Ofisa Habari wa Yanga mara baada ya kufungiwa na Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) kutojihusisha na masuala ya soka kwa muda wa miaka miwili na faini ya miloni 20 kwa kosa la kumtishia na kumdhihaki Rais wa TFF, Wallace Karia amesema anashukuru.
Hayo yote ilikuwa ni kupitia ukurasa wa Instagram ambapo aliweza kusema kuwa anashukuru kwa kila jambo liwe la kheri au shari.
AMETOA SHUKRANI BAADA YA KUFUNGIWA HAJI MANARA
Теги
SimbaYangaLigi Kuu BaraKombe la ShirikishoSopuMabingwa wa Ligi Kuu BaraFiston MayeleJuma AbdulDjuma ShabanFeisal SalumDiarra DjiguiAishi ManulaSheikh Amri AbeidDickson JobRoyal TourHassan DilungaMiraji AthumanSenzo MbathaChico UshindiUhuru SelemanPascal WawaKelvin MbappeMbwana SamattaBeno KakolanyaMasoudZawadi MauyaHeritier MakamboMsamahaKariaGSMInjinia HersiUchaguzi YangaNjombe FCPhiriSuma MwaikendaInjinia