#habaritanzania #wazirimkuu #ruvuma#Waziri mkuu Kassimu Majaliwa amesema ameridhishwa na maboresho ambayo yanayofanyika katika hospitali ya wilaya ya Namtumbo mkoni Ruvuma ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo aliyo yatoa octoba 18 mwaka 2022 alipofanya ziara katika hospitalini hiyo.PATA habari mbalimbali za michezo na burudani bila kusahau makala za kijamii pamoja na vivutio mbalimbali vya utalii kupitia katika channel hii pendwa ya TOKAZAMANI TV.
FACEBOOK:[ Ссылка ] INSTAGRAM:[ Ссылка ] YOUTUBE:www.youtube.com/c/tokazamanitv SUBSCRIBE HERE:www.youtube.com/c/tokazamanitv?sub_confirmation=1
Ещё видео!