#breakingnews #2gendahtvonline #jokatemwegelo #ziarah
"Sote kwa pamoja tunatambua kwamba UVCCM ndio Jumuiya pekee nchini inayobeba sauti ya vijana na inayoweza kuzungumzia changamoto na madhila tunayopitia vijana wote nchini. Halikadhalika, Jumuiya yetu ndio kinara wa kuibua fursa na suluhisho kwa changamoto zinazowakabili vijana wote nchini" Katibu Mkuu UVCCM , Jokate Mwegelo
![](https://i.ytimg.com/vi/6UDYLWrfJX0/maxresdefault.jpg)