Cheza sasa kupitia [ Ссылка ] na ushinde
Kocha Mkuu Singida Fountain Gate, Jamhuri Kihwelo 'Julio' amesema, ili Simba na Yanga ziwe na uhakika wa kutinga nusu fainali Ligi ya Mabingwa Afrika inabidi zisiogope majina ya wapinzani wao na badala yake zicheze kwa kujitolea sana na kusaka ushindi kuanzia mabao matatu zikiwa nyumbani kurahisisha kazi kwa mechi za marudiano ugenini.
Simba itaikaribisha Al Ahly Machi 29, 2024 ukiwa ni mchezo wa kwanza wa robo fainali kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 3:00 usiku, huku Yanga itamalizana na Mamelodi Sundowns Machi 30, 2024 kwenye uwanja huo huo saa 3:00 usiku.
Hata hivyo, Julio amefunguka kuhusu maandalizi ya Singida kwa mechi zijazo za Ligi Kuu Bara akidai mipango ni kumaliza msimu ikiwa nafasi nne za juu katika msimamo wa Ligi Kuu Bara.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
Ещё видео!