“Tukiarifiana vigodoro…kila wiki kunasare na kila wiki tunakwenda kununua…za kwenda kuchezea vigodoro… pesa ya hayo tumayo, lakini pesa za bima ya afya hatuna,” ni sehemu ya kauli ya Makamu wa Rais Samia Suluhu akionyesha kukerwa na gharama kubwa za matibabu na kuwataka wananchi kukata bima ya afya ili kukabiliana na hali hiyo huku akisisitiza Wanananchi kushihirikiana na Serikali katika kuchangia gharama za matibabu.
![](https://i.ytimg.com/vi/6vEPdjUGY10/maxresdefault.jpg)