UKRAINE WATUNGUA HELKOPTA 30 ZA URUSI NA KUUA WANAJESHI 2, VITA YAPAMBA MOTO..
Wanajeshi wa Ukraine wamedai wamefanikiwa kutungua helikopta kadhaa za Urusi usiku wa kuamkia leo, na kuwaua wanajeshi wao 11,000, huku wakisema wamedhibiti maeneo yao yote na mpaka sasa Warusi hawajateka eneo lolote muhimu, hali inayoonesha dalili za kwamba Ukraine inaweza kushinda vita hiyo.
Wanajeshi wa Putin walianza tena mashambulizi yao katika miji ya Mariupol, Chernihiv, Mykolaiv na Kharkiv asubuhi ya leo wakati vikosi vyake pia vikijaribu kuuzingira mji mkuu wa Kyiv, lakini hawajafanikiwa kwa kiasi kikubwa.
Wakati huo huo wanajeshi wa Ukraine wamedai kutungua helikopta 30 za Urusi ambazo zilihamishiwa kwenye uwanja wa ndege wa Chornobaivka, karibu na mji wa Kherson, na kuua makamanda wawili wa Urusi - Luteni Kanali Dmitry Safronov, na Luteni Kanali Denis Glebov.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
Ещё видео!