Mwanafunzi wa shule ya msingi ya Khayega eneo bunge la Shinyalu, amelazwa akiwa hali mahututi baada ya kupigwa na mamake kutokana na ufichuzi kuwa amekuwa akibakwa na babake mzazi kwa muda sasa.
Mwanafunzi huyo aliadhibiwa na mamake baada ya kupasua mbarika kwa mwalimu wake mkuu. Babake msichana, aliyeenda mafichoni, anasakwa na polisi.
![](https://i.ytimg.com/vi/79ce6LtIaig/maxresdefault.jpg)