DODOMA: NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amemuhakikishia Mbunge wa Mbagala, Abdallah Chaurembo kumaliza tatizo la kukatika umeme mara kwa mara jimboni humo baada ya kukamilika kwa mradi wa kuongeza transfoma katika Kituo cha kupoza umeme jimboni humo unaotekelezwa na Serikali kupitia wizara hiyo.Naibu Waziri Kapinga ameyasema hayo wakati akijibu swali la nyongea la Mbunge huyo aliyetaka kujua ni lini Serikali itamaliza tatizo la kukatika umeme mara kwa mara jimboni kwake wakati wa kipindi cha maswali na majibu.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
HabariLeo: [ Ссылка ]
DailyNews: [ Ссылка ]
INSTAGRAM;
HabariLeo: [ Ссылка ]...
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: [ Ссылка ]
MWAROBAINI WA KUKATIKA UMEME MBAGALA WAJA
Теги
ccmayo tvmillard ayoayotvmtanzaniadigitalmwananchidigitalharmonizetundulisuwasafi tvsimba tvazam tvhellen showstbc onlinehaji manarayanga scmanchester unitedliverpoolzuchuclouds tvkassim majaliwawaziri mkuuikulu mawasilianoflaviana matataMaalim SeifCoronaJPMDK Magufulispika NdugaiMama SamiaTulia AksonBungeni DodomaDiamond PlatnumzHarmonizeKTNTundulisuZitto KabweAli KibaZuchuCCMChademaSamiaSuluhuUchaguzi