FAHAMU NDEGE YENYE MVUTO ZAIDI DUNIANI!
AIR FORCE ONE ni kati ya ndege za gharama sana duniani, ambapo inatajwa kushika nafasi ya pili kwa kuwa ya gharama. Gharama yake ni dola za kimarekani millioni n660 sawa na trilioni 1.5 za kitanzania , wakati ndege inayoongoza kwa kuwa na gharama kubwa ni B-2 Spirit ambayo inauzwa dola za kimarekani milioni 737 sawa na trilioni 1.7 za kitanzAir Force One inavutia zaidi kutokana na kusheheni mambo mengi ndani yake, tofauti na B-2 ambayo yenyewe ni maalum kwa ajili ya mipango ya kivita tu, si ya kubeba abiria.
#AirForceOne
[ Ссылка ]... Watch More Videos here: [ Ссылка ] Watch More Videos here: [ Ссылка ] Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers
Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: [ Ссылка ] Install Global App: iOS: [ Ссылка ]
Ещё видео!