Katibu mwenezi wa CCM wilaya ya Geita,Jonathani Masele amesema wamekutana mapema leo na baadhi ya wajumbe wa mkutano Mkuu wa chama hicho lengo likiwa ni kutazama masuala mbali mbali yanayokwamisha shughuli za maendeleo kwa wananchi.
Masele amesema ni vyema kwa baadhi ya viongozi kuzingatia maagizo yaliyotolewa ikiwemo ujenzi wa ofisi za chama ngazi ya Kata pamoja na maboresho ya ofisi kuu ya Wilaya hiyo.
![](https://i.ytimg.com/vi/7aURkL1Y1TA/mqdefault.jpg)