Bodi ya Ligi kupitia kwa msemaji wake Karim Boimanda leo April 18,2024 wametoa maelekezo kuelekea kwenye mechi ya kariakoo dabi itakayuopigwa April 20 katika dimba la Benjamin Mkapa,Aidha afisa wa Nbc alipata nafasi ya kuzungumza ikiwa kama wao ndio wadhamini wa Ligi na kutoa Rai kwa wapenzi wa soka nchini kufika uwanjani siku hiyo
Ещё видео!