April 2 2017, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilifanya uchaguzi wa Wabunge watakaoiwakilisha nchi katika Bunge la Afrika Mashariki.
Tanzania itawakilishwa na wabunge Tisa ambao walitakiwa kuchaguliwa kwa kupigiwa kura na Wabunge wa Bunge la Jamuhuri wa Muungano ambapo huku vyama vitatu vya siasa vikitakiwa kutoa wabunge hao.
![](https://i.ytimg.com/vi/7qZTIWvphXc/maxresdefault.jpg)