Viongozi wa chama cha UDA wameapa kupinga mapendekezo kwenye mswada wa fedha uliowasilishwa bungeni na waziri wa hazina ya kitaifa Ukur Yatani wakisema mapendekezo hayo yatamkandamiza mwananchi wa kawaida. Kwenye kampeini zake kaunti ya kiambu, wabunge wa mrengo huo wamesema wanasubiri mdahalo bungeni kudhihirisha msimamo wao.
![](https://i.ytimg.com/vi/8I85ZaU6sGo/maxresdefault.jpg)